https://orpp.go.tz
ORPP Website
ORPP Website
ORPP Website English Staff Mail Maswali Wasiliana Nasi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Kuhusu sisi Mamlaka Dira Majukumu Muundo Uongozi HistoriaShughuli za Ofisi Usajili wa Vyama Uratibu wa Vyama Ufuatiliaji wa Vyama Gharama za Uchaguzi Ruzuku ya Vyama Utatuzi wa Migogoro Taarifa za Vyama vya SiasaVyama vya Siasa Usajili wa Kudumu Usajili wa Muda Orodha ya Vyama Vya Siasa Baraza la VyamaSheria na Machapisho Katiba Sera Sheria Kanuni Miongozo Taarifa Fomu EE Fomu PP Fomu za FedhaKituo cha Habari Habari Hotuba Picha Video Taarifa kwa UmmaMatangazo Mikutano Warsha Nafasi za kazi ZabuniZiara Taratibu za Ziara Fomu ya Maombi Utimilifu na Makatazo Maoni ya Watembeleaji Mhe. Jaji Francis S. Mutungi Msajili wa Vyama vya Siasa Wasifu Mhe. Mohammed Ally Ahmed Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa Wasifu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mhe. Jaji Francis Mutungi akifungua mkutano maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa na wadau wa demokrasia katika ukumbi wa JNICC Dar es Salaam, tarehe 12 Julai 2024 Mhe. Jaji. Francis Mutungi akimkaribisha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman M. Othman katika ukumbi wa JNICC Dar es Salaam ili kufungua Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa na wadau wa demokrasia nchini tarehe 3/1/2024. Mhe. Jaji Francis Mutungi akifungua Mafunzo ya Viongozi wa Vyama vya Siasa kuhusu masuala ya utekelezaji wa Sheria ya Vyama vya Siasa katika Ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam, tarehe 9 Julai 2024. Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa OMVVS, Ndg. Magohu Zonzo akitoa mada kuhusu Menejimenti ya Ofisi na Utunzaji wa nyaraka katika mafunzo kwa viongozi wa Vyama vya Siasa yaliyofanyika tarehe 10 Julai 2024 kwenye ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam Mhe. Jaji Francis Mutungi akifungua Warsha ya Viongozi wa Vyama vya Siasa kuhusu Usawa wa Kijinsia iliyofanyika tarehe 20 Agosti 2024 katika ukumbi wa NIMR, Dar es Salaam. Mhe. Jaji Francis Mutungi akifafanua mada kwa wadau wa Warsha ya ukusanyaji wa maoni ya viongozi wa Baraza la Vyama1 vya Siasa kuhusu Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 iliyofanyika tarehe 21 Agosti 2024 katika ukumbi wa NIMR, Dar es Salaam. Mhe. Jaji Francis Mutungi akifungua Warsha ya Rushwa kwa wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa iliyofanyika tarehe 28 Agosti 2024 katika ukumbi wa Michenzani Mall, Zanzibar. Waziri wa Nchi OR Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar, Mhe. Haroun A. Suleiman akiwa na Sekretarieti ya OMVVS baada ya kufungua warsha kuhusu rushwa kwa Baraza la Vyama vya Siasa katika ukumbi wa Michenzani Mall Zanzibar, tarehe 28/8/2024. Mhe. Jaji Francis Mutungi akisalimiana na Katibu Mkuu wa NLD, Ndg. Doyo H. Doyo wakati wa ziara ya Waziri wa Nchi OWM, Mhe. William Lukuvi alipotembelea ofisi za Makao Makuu ya Vyama vya Siasa Dar es Salaam, tarehe 9/10/2024. Mhe. Jaji Francis Mutungi akielezea jambo kwa wajumbe wa Kamati ya Ukaguzi ya OMVVS wakati wa mafunzo kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yaliyofanyika tarehe 9 Oktoba 2024 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma. Mhe. Mohammed A. Ahmed akitoa ufafanuzi wa majukumu ya OMVVS kwa wajumbe wa Kamati ya Ukaguzi ya OMVVS wakati wa mafunzo kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yaliyofanyika tarehe 9/10/2024 katika ukumbi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma. Msajili Msaidizi Uchaguzi na Ruzuku, Bi. Hollo S. Kazi akitoa ufafanuzi kwa washiriki wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kufuatia mafunzo yaliyofanyika tarehe 9 Oktoba 2024 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma. Mkuu wa Kitengo cha Sheria wa OMVVS, Ndg. Muhidin Mapeyo akiwasilisha mada wakati wa mafunzo kuhusu majukumu ya OMVVS kwa washiriki wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yaliyofanyika tarehe 9/10/2024 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma. Mhe. Jaji Francis Mutungi akielezea jambo kwa washiriki wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika mafunzo ya maandalizi ya uchaguzi huo yaliyofanyika tarehe 11 Oktoba 2024 katika ukumbi wa PSSSF, Dodoma. Msajili Msaidizi Uchaguzi na Ruzuku, Bi. Hollo S. Kazi akiwasilisha mada kwa washiriki wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wakati wa mafunzo yaliyofanyika tarehe 11 Oktoba 2024 katika ukumbi wa PSSSF Tower, Dodoma. Mhe. Jaji Francis Mutungi akifungua kikao cha dharura cha Baraza la Vyama vya Siasa tarehe 11 Oktoba 2024 katika ukumbi wa PSSSF Tower, Dodoma. Baada ya uteuzi wa waliogombea uongozi wa Serikali za Mitaa kupitia vyama vyao vya siasa, wagombea hao na wafuasi wao walionekana wakikagua fomu katika Mtaa wa Luhende Manispaa ya Shinyanga, tarehe 8/11/2024. Mhe. Jaji Francis Mutungi akishiriki Mkutano wa Viongozi wa Vyama vya Siasa wa kupitia rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 uliofanyika katika ukumbi wa JNICC Dar es Salaam, tarehe 14 Disemba 2024. Watumishi wa OMVVS wakiwa katika picha ya pamoja walipotembelea Mradi wa Ujenzi wa Jengo la OMVVS lililopo maeneo ya Kilimani Dodoma, tarehe 14 Disemba 2024. Mhe. Jaji Francis Mutungi akitoa salamu za pole kwa familia na waombolezaji wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Msajili Mstaafu wa Vyama vya Siasa, Marehemu John Bill Tendwa kwenye viwanja vya Karimjee Dar es salam, tarehe 19 Disemba 2024. Watumishi wa OMVVS wakiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Msajili Mstaafu wa Vyama vya Siasa, Marehemu John Bill Tendwa katika makaburi ya Kondo Ununio, Dar es salaam, tarehe 20 Disemba 2024 Baadhi ya watumishi wa OMVVS wakiwa katika Mafunzo ya TEHAMA kwa vitendo ili kuongeza ujuzi na uzoefu katika matumizi ya vifaa vya TEHAMA. Mafunzo hayo yaliyotolewa na Kitengo cha TEHAMA tarehe 6/1/2025. Mhe. Jaji Francis Mutungi akifafanua jambo kwa wajumbe wa Kamati ya Uongozi wa Baraza la Vyama vya Siasa katika kikao kilichofanyika tarehe 15 Februari 2025 katika Ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Bunge Tunguu, Zanzibar. Mhe. Jaji Francis Mutungi akifafanua jambo wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria katika mradi wa ujenzi wa Ofisi ya Msajili Kisakasaka, Zanzibar tarehe 19 Februari 2025. Mhe. Jaji FrancIs Mutungi akielezea jambo wakati wa mafunzo kuhusu rushwa mahali pa kazi kwa watumishi wa OMVVS yaliyotolewa na TAKUKURU, tarehe 28 Februari 2025 katika jengo jipya la OMVVS Kilimani, Dodoma. Baadhi ya wanawake watumishi wa OMVVS, wakiwasili katika viwanja vya Chinangali kwenye sherehe za maadhimisho ya siku ya wanawake duniani tarehe 8/3/2025. Msajili wa Vyama vya Siasa, Mhe. Jaji Francis Mutungi akizungumza mbele wajumbe wa Kamati ya Uongozi wa Baraza la Vyama vya Siasa wakati wa kikao cha kamati hiyo kilichofanyika tarehe 11 Machi 2025 katika Ukumbi wa Mikumi ulipo Nashera Hotel, Morogoro. Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa, Juma Ali Khatibu akizungumza wakati wa Mkutano Baraza hilo tarehe 12/3/2025 uliofanyika Nashera Hotel, Morogoro. Kushoto ni Mhe. Jaji Francis Mutungi (RPP) na kulia ni Makamu Mwenyeki wa Baraza, Ndg.John Mongela Baadhi ya viongozi wa Vyama Vya Siasa wakifuatilia hoja wakati wa Mkutano wa Baraza la Vyama Vya Siasa uliofanyika tarehe 12 Machi 2025 katika Ukumbi wa Selous ulipo Nashera Hotel, Morogoro. Mhe. Jaji Francis Mutungi akipokea Tuzo kutoka kwa Taasisi ya Viongozi Wanawake (ULINGO) kwa kutambua mchango wake katika kuimarisha ushiriki wa wanawake katika siasa nchini wakati wa Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa tarehe Msajili wa Vyama vya Siasa Mhe. Jaji Francis Mutungi akifafanua jambo mbele ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala Bora wakati wa ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa jengo la OMVVS lililopo Kilimani Dodoma tarehe 17/3/2025. Msajili wa Vyama vya Siasa Mhe. Jaji Francis Mutungi (wapili kutoka kushoto) akiambatana na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala Bora, Mhe. Joseph Mhagama wakati wa ziara ya kukagua ujenzi wa jengo la OMVVS Kilimani Dodoma Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, leo tarehe 18 Machi 2025 jijini Dar es salaam amekutana na uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kujadili masuala mbalimbali yanayohusu utekelezaji wa sheria zinazosimamiwa na ofisi yake. Kuhusu Sisi Karibu Karibu kwenye tovuti ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa . Kupitia tovuti hii, utapata taarifa za uhakika juu ya shughuli za Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini na taarifa za uhakika juu ya Vyama vya Siasa.Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imejikita katika usimamizi wa Sheria ya Vyama vya Siasa Na 5 ya mwaka 1992 na Sheria ya Gharama za uchaguzi ya mwaka 2010 ili kuhakikisha uwepo na ukuaji wa demokrasia ya vyama vingi nchini. Habari 13 Mar Political Parties Council Urges Ethical Campaigning, Applauds Government’s Gender Initiatives The Political Parties Council (PPC) has issued a resolute call for political leaders and parties to prioritise peace, stability and ethical practices, as Tanzania prepares for the October 2025 General Elections. Soma zaidi.. 22 Jan Msajili Aipongeza CHADEMA kwa Kuonesha Ukomavu wa Demokrasia Nchini Msajili wa Vyama vya Siasa nchini ametoa pongezi kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kudumisha Demokrasia nchini. Soma zaidi.. 17 Dec Tanzia Jaji Francis Mutungi anasikitika kutangaza kifo cha Msajili wa Vyama vya Siasa Mstaafu John Bill Tendwa Soma zaidi.. 05 May OFISI YA MSAJILI VYAMA VYA SIASA YAPONGEZWA UENDESHAJI ZOEZI LA UHAKIKI WA VYAMA VYA SIASA Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imepongezwa kwa namna ambavyo imekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha Vyama vya Siasa vinajiendesha kama taasisi na kwa kuzingatia sheria na taraatibu za kidemokrasia. Soma zaidi.. Nifanyaje... vyombo vya habari Kusajili Chama cha Siasa? TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAAZIMIO YA KIKAO CHA BARAZA LA VYA VYA SIASA CHA TAREHE 12 & 13 MJINI MOROGORO KUKARIBISHA MAONI YA KUFANYIWA KAZI NA KIKOSI KAZI CHA MHESHIMIWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kikosi Kazi cha Kupitia Hoja zilizojitokeza katika Mkutano wa Wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi Ufafanuzi Zoezi la Uhakiki Kuanza Kesho Pongezi za Baraza la Vyama vya Siasa kwa Rais Samia na Dkt. Hussen Mwinyi Wajibu wa Viongozi wa Vyama vya Siasa Kutii Sheria za Nchi ili Kukuza Demokrasia na Amani ya Nchi Wito wa Kutii sheria wakati wa uchaguzi kwa Vyama vya Siasa Kuahirisha Kikao cha Baraza la Vyama vya Siasa Kikao cha Baraza la Vyama vya Siasa Matukio 31 May Mkutano wa dharura wa Baraza la Vyama vya Siasa Soma zaidi.. 16 May Kikao Kazi cha Msajili na Vyama vya Siasa Soma zaidi.. Video Vyama vya Siasa Wasiliana Nasi S.L.P : S.L.P 2851 Dodoma Simu : +255 26 23322500 Nukushi : +255 26 2323525 Barua Pepe : info@orpp.go.tz Website :https://www.orpp.go.tz Kurasa za Karibu eOffice Video Mpya Staff Mail Huduma Zetu Vyama Vya Siasa Tovuti Mashuhuri e-Mrejesho Utumishi wa Umma Ofisi ya Rais Ikulu Bunge la Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu Tume ya Uchaguzi Mitandao ya Kijamii © 2017 Office of Registrar of Political Parties - All Rights Reserved Ramani Ya Tovuti Sera YA Faragha Angalizo
en
en
1771247768
https://orpp.go.tz
แก้ไขไซต์ของคุณ?
คุณกำลังทำอะไร?